
Instagram sensation Thee Pluto has finally received his Ksh 1 million shillings from Nairobi politician Wangui Ng’ang’a as she had promised to give him the money after she dared him to shave his dreadlocks.
Actually you know ile time nilimwambia anyoe nywele nilidhania ni mchezo but one thing i know for sure hizo nywele mimi sikua aii si unaona hii look inakaa smart so unajua watu wako serious na yeye anaendelea kusanitize the street anataka aonekane ni mtu ako serious na kazi yake na pia ako presentable sisemi dreads ni mbaya lakini kuna saa zingine hupatiana look mtu hayuko focussed sana
Politician Wangui Ng’ang’a

She added
And I dared him and he took the dare here we are and kwa sababu sikumpatia hii pesa hakua around but i always like to fulfil my promise…there are more important things in life and you have to take care of yourself and the people who are closer to you so for me siasa iko sawa na pia budget ya siasa iko

As for Thee Pluto this is what he had to say
Millioni moja sio pesa kidogo alafu unajua like tukiongelelea hio day ile kimchezo chezo hadi nikaita bro wangu weeh kuja ucomfirm naenda kueka nywele chini, sasa mhesh leo nimeamua unajua alikua anaisema kama jokingly hii nywele ukieka chini but ni ukweli venye amesema sometimes unaona when dealing with corporates unajua tunasemanga there is no second chance for first impression

He added
Unakuta unadeal na client 50 and above kama ni wewe unadeal na yeye sometimes you need to send someone mwenye he is more presentable kwa sababu huyu mtu anakuja kuekelea pesa yake for xample kuekelea shamba dredi ni kitu haikutrust sijui kama you understand my scenario so unajua aspects tuu mingi alafu most importantly it was the cash